Pages

Wednesday, February 3, 2016

WAHAMIAJI HARAMU RAIA WA ETHIOPIA WANASWA NA POLISI MIKUMI MORO NDANI YA NOAH KUTOKEA CHALINZE KUELEKEA TUNDUMA..

   Gari walilokuwa wakitumia wahamiaji  haramu wa Ethiopia ( mbele ) waliokamatwa likiwa nje ya jengo la Kituo Kikuu cha Kati cha Polisi mjini Morogoro.
 Wahamiaji  haramu wa Ethiopia waliokamatwa na Polisi,  jana wakiwemo na watanzania wawili ,eneo la Mikumi, wilayani Kilosa  katika barabara kuu ya Mikumi- Iringa, wakiwa chini ya Ulinzi wa Polisi eneo la viwanja vya  Jengo la Kituo Kikuu cha Kati cha Polisi mjini Morogoro.
  Wahamiaji  haramu wa Ethiopia ( mbele ) waliokamatwa wakiwasili eneo la viwanja vya  Jengo la Kituo Kikuu cha Kati cha Polisi mjini Morogoro.
   Wahamiaji  haramu wa Ethiopia ( mbele ) waliokamatwa wakiwasili eneo la viwanja vya  Jengo la Kituo Kikuu cha Kati cha Polisi mjini Morogoro.
Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, akielezea jambo kwa waandishi wa habari , mbele ya wahamiaji  haramu wa Ethiopia waliokamatwa usiku wa kuamkia Februari 2, mwaka huu  pamoja  na watanzania wawili eneo la Mikumi, wilayani Kilosa  katika barabara kuu ya Mikumi- Iringa,  baada ya kuwapatia mji wa Chalinze na kwenda nao Tunduma ili wavuke mpaka kuelekea Afrika Kusini. Picha na John Nditi

0 comments:

Post a Comment